
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa mjini Bukoba jioni hii kwa ajili ya kuwasha Mwenge wa Uhuru kesho katika hafla itakayofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba, Mkoa wa Kagera.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na Vijana wa 'Scout' wa mkoa wa Kagera, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa mjini Bukoba jioni hii kwa ajili ya kuwasha Mwenge wa Uhuru kesho katika hafla itakayofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba, Mkoa wa Kagera.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na baadhi ya viongozi, waliompokea kwenye uwanja wa Ndege wa mjini Bukoba leo jioni.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, mkewe Mama Zakhia Bilal, wakifurahia ngoma ya asili ya kabila ya Wahaya baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa mjini Bukoba jioni hii kwa ajili ya kuwasha Mwenge wa Uhuru kesho katika hafla itakayofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba, Mkoa wa Kagera.

Makamu wa Rais Dk Gharibu Bilali amewasili katika Manispaa ya Bukoba kwa ajili ya uzinduzi wa mbio za mwenge Kitaifa.
DAS wa Bukoba (kushoto) Bw Ndyamukama akiwa na meneja wa uwanja wa ndege wa Bukoba
Mh Mbunge wa jimbo la Bukoba mjini akiwa na Naibu Meya wa Manispaa ya Bukoba wakiwa uwanja wa ndege kumpokea makamu wa Rais
Mh Diwan Murungi Kchwabuta akisalimiana na MH Amina saidi Mkurugenzi wa sensa nchini
Bw Richard akiwa uwanja wa ndege
Kulia na Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Zippola Pangani
MH Khamis Kagasheki akiteta kitu na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanal Mstaafu Fabian Massawe
Ndege ikiwasili
MH kAGASHEKI AKIWA NA Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Kagera Costancia Buhiye
Karibu mkuu
Makamu wa Rais akivishwa Skafu
Makamu wa Rais akisalimiana na Baba ASKOFU WA KANISA LA AUTHODOX
Makamu wa Rais akisalimiana na Baba ASKOFU Methodius Kilain
Dada Rose Kajirita akisalimiana na Makamu wa Rais
Kikundi cha ngoma cha kakau kikitumbuiza uwanjani
Kikundi cha kwaya BCC kikiwa Ikulu ndogo Bukoba
Makamu wa Rais akiwa na mke wake Ikulu ndogo akisomewa taarifa ya Mkoa wa Kagera
Waziri wa Habari,vijana, michezo na utamaduni akitoa taarifa ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za mwenge itakavyokuwa katika uwanja wa Kaitaba
Mkuu wa mkoa akisoma taarifa ya Mkoa
Naibu Waziri JumaNgamia
MH kARAMAGI
Mh Karamagi akiwa na Balozi Kagasheki Ikulu ndogo
OCD Bukoba akiwa na Kamanda wa Police Mkoa wa Kagera Mayunga
Mh Kagasheki akiwa na RAS wa Kagera Nasoro Mnambilla
Katibu wa ccm Bukoba Manispaa Janat Musa akiwa na Naibu Meya Alexsanda Ngalinda Ikulu ndogo Bukoba
No comments:
Post a Comment