Kama ulikuwa una muda umeingia katika Uwanja wa Kaitaba ,ni tofauti sana na ulivyo sasa, Wahenga walinena kufa kufaana hakika haya maneno yametimia kwa vitendo katika uwanja wa Kaitaba. Ujio na uzinduzi wa mbio za mwenge Kitaifa katika Mkoa Wa Kagera hakika umeleta faraja kwa uwanja kufanyiwa ukarabati wa hali ya juu kama unavyoonekana.
Kushoto ni Mhandisi Stephen wa Manispaa ya Bukoba akifuatilia kwa karibu maendeleo ya maandalizi katika uwanja wa Kaitaba


Vijana kazini...
Ulinzi na usalama unaimarishwa kadri siku zinavyozidi kusogea
Jukwaa kuu
Gari likishusha vifaa vya wanafunzi wa Alaiki
Hiyo ndio kaitaba
Kaitaba kwa mbali
Tunajitahidi kuangaika kupata picha nzuri ili uweze kutofautisha ulivyokuwa na sasa,kupata picha za hivi si rahisi kama unavyotazama kirahisi, akili, kutulia na uwezo wa camera ndio unapata kitu kkwa mbali si kila camera inaweza.
Sare zote zikiwa na nembo ya NMB
Wanafunzi wakiwa wameshavaa sare zao
Hali imebadilika sana katika uwanja wa kaitaba panavutia na kupendeza
Teacher akiwajibika
Kushoto ni Mama Adventina Matungwa mkurugenzi wa makampuni na mahoteli ya Walkgard ambao watapamba uwanja wote wa Kaitaba na kuonekana katika rangi za Taifa na hiyo kazi inaendelea
Mwanafunzi akijaribu viatu vyake
Mmoja ya wakufunzi wa Alaiki akichambua viatu kwa ajili ya watoto wa Alaiki
Hakika vijana wameiva sawasawa,na wako tayari kuonyesha umaili wao 2-5-2014 katika uwanja wa kaitaba
No comments:
Post a Comment