BUKOBA SPORTS

Saturday, May 3, 2014

LA LIGA: BARCELONA 2 vs GETAFE 2, MTU MMOJA LAFITA AWACHAFULIA USHINDI BARCA!! AWEKA SARE YA MACHUNGU!!


Wafungaji upande wa timu ya Barcelona ni Lionel Messi dakika ya 23kipindi cha kwanza huku Alexis Sánchez akifunga bao la pili dakika ya 67 kipindi cha pili.

Getafe bao zimefungwa na mchezaji mmoja Lafita katika dakika ya 37 na bao la pili kalifunga na likiwa la kusawazisha dakika za majeruhi dakika ya 90 na kwenye muda wa dakika za nyongeza.
Sasa Barcelona wamebakia Pointi 3 nyuma ya Vinara Atletico Madrid na pia kucheza Mechi moja zaidi yao huku wakiwa wamebakisha Mechi 2.
Patashika...mchezaji wa Getafe akikatiza mbele ya mchezaji wa Barca jioni ya leo jumamosi.Wachezaji wa Barca wakiangalia kwa machungu sare mbaya kwao!! wengine hoi!!Real Madrid kuendelea kuwatibua tena Barca!!

No comments:

Post a Comment