Jana Mchezaji huyo mwenye Miaka 19 anaechezea Timu ya Vijana ya England ya chini ya Miaka 19 alifanyiwa upimwaji afya yake.
Chambers anakuwa Mchezaji wa Tatu kusainiwa na Arsenal baada ya pia kuwanasa Fowadi wa Barcelona Alexis Sanchez na Beki wa Newcastle Mathieu Debuchy.
Hadi sasa Southampton imeshawapoteza Rickie Lambert na Adam Lallana waliokwenda Liverpool na Luke Shaw aliekwenda Man United.
Dili la Chambers kuja Arsenal linaangaza Carl Jenkinson kuondoka Klabuni hapo.
Bacary Sagna alishatimukia Manchester City
No comments:
Post a Comment