BUKOBA SPORTS

Monday, August 25, 2014

KAKA MKUU ERNEST NYAMBO AAGWA KWA SHANGWE BUKOBA.

Keki tayari kwa Kuliwa usiku huu.Ernest Nyambo (kushoto) akiwa na rafiki yake Pedeshee Muganyizi kutoka kampuni ya Zachwa Investment kwenye sherehe ya kumuaga rafiki yake mpendwa Kaka mkuu. Mbele yao ni keki iliyoandaliwa vyema na ikiwa maalum kwa ajili ya kuliwa kwa ishara ya kumuaga ndugu yao ambaye amehamishwa kikazi kuelekea Jijini Dar es salaam.Naibu Kamishna George Kombe, Afisa Uhamiaji Mkoa wa Kagera (kushoto katikati ni RPC Mwaibambe Kamanda wa Polisi Mkoa Kagera na kulia ni Mbunge wa jimbo la Bukoba mjini Balozi Khamis Kagasheki wakiwa kwenye Sherehe ya kumuaga Ernest Nyambo ambaye amehamishiwa makazi Jijini Dar Es salaam kwa Kazi ya Kujenga Taifa.Shangwe za Sherehe ya kumuaga Kaka Ernest Nyambo zikiendelea..Bw. Ernest Nyambo akimlisha keki my wife wake kwenye sherehe ya kumuaga mumewe kipenzi iliyofanyikia kwenye Ukumbi wa Lina's Club Bukoba mjini usiku huu wa tarehe 23.08.2014 Mama Prisira Mwainunu nae alilishwa keki hiyoMama Prisira Mwainunu nae aligeuza kibao kwa Ernest Nyambo.Rafiki yake Jamali Kalumuna nae alilishwa keki na Ernest Nyambo
Marafiki wakishuhudiaKutoka Mwanza...kulia ni dada Anitha Z. akiwa na rafiki yake kwenye Sherehe ya kumuaga Kaka yao Ernest Nyambo.Mbunge wa jimbo la Bukoba mjini Balozi Khamis Kagasheki(kushoto) akiteta jambo kwenye Sherehe ya kumuaga kaka Ernest Nyambo iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Lina's Club Bukoba.Mbunge wa jimbo la Bukoba mjini Balozi Khamis Kagasheki akizungumza na Umati wa Watu kwenye Sherehe hiyo iliyoudhuriwa na ndugu, Jamaa pamoja na Marafiki.

Wadau

Bw. Simba akitimua vumbi kwenye Sherehe hiyo

Ilikuwa hatai kwa Vijana wa Mjini
ILIKUWA BALAA!



Bw. Ernest kiwa na Mkewe wakati anaagwaaa..


Wakina Mama nao walikuwepo na hapa walikuwa wakitoa pongezi zao kwa Kijana wao Ernest Nyambo.

Mpaka kieleweke...hapa mpaka asubuhi...!!!

Mama Prisira Mwainunu  akitoa neno lake

Mama Prisira Mwainunu 

Zawadi wa Tisheti aliyopewa Ernest ikiwa na Ujumbe tosha!

Jamco ndie kaachiwa nafasi ya Uongozi pamoja na Mama Prisira Mwainunu katika kikundi cha Wanapamoja Bukoba ambayo ilikuwa ikishikiliwa na Kaka Ernest Nyambo na Dada Salome a.k.a Chui!

Kwenye Upande wa Bukoba Veteran Kiongozi ni Super Mkude uongozi alioachiwa kutoka kwa Ernest Nyambo ambaye makazi yake yanahamia Jijini Dar es salaam.

Niliongoza Vizuri katika Nafasi yangu mliyokuwa mmenipa kwa nafasi ya pekee na nilijitahidi kadri ya Uwezo wangu kuendesha gurudumu la maisha pamoja na kushirikiana nanyi pamoja vizuri naomba na Nyie mliochaguliwa kwenye nafasi hii mjitume na mfanye vizuri...hayo yalikuwa ni maneno ya Ernest kwa Viongozi walioteuliwa katika nafasi hiyo ya Uongozi huo.

Pongezi kwa Jamal Kalumuna baada ya kuteuliwa kuongoza Kundi la Wanapamoja Bukoba

Viongozi wapya Mama Prisira Mwainunu  na Jamal Kalumuna

Tutafanya kazi kwa kujituma na kwa Upendo

Jamal Kalumuna na Mama

Muziki kidogo uligongwa

Pongezi za kumwaga zikamiminika..
Dada Salome akimpongeza na kumkumbatia Kaka yake kipenzi...Ernest kumtakia kila la kheri  katika mafanikio yake huko aendako jijini Dar es salaam.

Dada Salome akitoa neno


Dada Salome alikuwa akisaidiana na Ernest katika Mambo mengi hususani ya Biashara zake hapa Mjini Bukoba.

Dada Salome a.k.a Chui akimpongeza Kaka Ernest wakati wa Sherehe yake ya kumuaga iliyofanyika katika ukumbi wa Lina's Bukoba


zawadi

Ernest Nyambo alipata muda akaongea neno na marafiki zake ndugu na jamaa wa hapa Bukoba ambapo alikuwa akifanya kazi kwa muda mrefu kabla ya kuhamishwa kikazi kuelekea Jijini Dar es salaam. Ernest kwa Umakini wake na Utendaji kazi wake akiwa hapa Kagera ulimfanya achaguliwe katika nyanja mbalimbali alikuwa kiongozi wa Bukoba Veteran na pia  Kiongozi wa kikundi cha Wanaumoja cha hapa Kagera Uongozi ambao aliuendesha Vyema mpaka amehamishwa Kikazi na Ngazi hizo za Uongozi akiwaachia wenzake kuchukua nafasi hizo.Asanteni jamani..




Muda wa Msosi .....

No comments:

Post a Comment