Everton walitangulia kufunga katika Dakika ya 20 kupitia Aiden McGeady na Jose Ulloa, Mchezaji mpya, kusawazisha Dakika mbili baadae.
Steven Naismith aliwapa Everton Bao la Pili Dakika ya 45 kabla ya Haftaimu tu lakini zikibaki Dakika 4 Mpira kwisha Chris Wood alisawazisha kwa Leicester.
No comments:
Post a Comment