Koscielny akipongezana na Santi Cazorla baada ya kusawazisha bao katika dakika ya 45 kipindi cha kwanza.
Dakika za majeruhi za kipindi cha pili zikiwa zimeongezwa dakika 5 na Crystal Palace wakiwa pungufu, Mchezaji Aaron Ramsey aliwapa ushindi kwa kuwafungia bao na kufanya 2-1 dhidi ya Crystal Palace na Mtanange kumalizika Arsenal wakiwa na Ushindi huo wa bao 2-1 na kukwea kileleni mwa Ligi hiyo iliyoanza kutimua Vumbi leo hii jumamosi.
Brede Hangeland wa Crystal Palace alivyowafunga Arsenal
Wachezaji wa Crystal Palace wakipongezana baada ya kupata bao dhidi ya Arsenal
Laurent Koscielny wa Arsenal alisawazisha katika dakika za majeruhi za kipindi cha kwanza.
VIKOSI:
Arsenal: Szczesny, Debuchy, Chambers, Koscielny, Gibbs, Wilshere, Arteta, Sanchez, Ramsey, Cazorla, Sanogo.
Akiba: Rosicky, Giroud, Oxlade-Chamberlain, Monreal, Martinez, Campbell, Coquelin.
Goli: Koscielny 45+1. Aaron Ramsey 90+1.
Crystal Palace: Speroni, Kelly, Dann, Hangeland, Ward, Puncheon, Jedinak, Ledley, Bolasie, Chamakh, Campbell.
Akiba: McCarthy, O'Keefe, Hennessey, Gayle, Murray, Bannan, Delaney.
Goli: Hangeland 35.
Refa: Jon Moss
Dakika za majeruhi za kipindi cha pili zikiwa zimeongezwa dakika 5 na Crystal Palace wakiwa pungufu, Mchezaji Aaron Ramsey aliwapa ushindi kwa kuwafungia bao na kufanya 2-1 dhidi ya Crystal Palace na Mtanange kumalizika Arsenal wakiwa na Ushindi huo wa bao 2-1 na kukwea kileleni mwa Ligi hiyo iliyoanza kutimua Vumbi leo hii jumamosi.
VIKOSI:
Arsenal: Szczesny, Debuchy, Chambers, Koscielny, Gibbs, Wilshere, Arteta, Sanchez, Ramsey, Cazorla, Sanogo.
Akiba: Rosicky, Giroud, Oxlade-Chamberlain, Monreal, Martinez, Campbell, Coquelin.
Goli: Koscielny 45+1. Aaron Ramsey 90+1.
Crystal Palace: Speroni, Kelly, Dann, Hangeland, Ward, Puncheon, Jedinak, Ledley, Bolasie, Chamakh, Campbell.
Akiba: McCarthy, O'Keefe, Hennessey, Gayle, Murray, Bannan, Delaney.
Goli: Hangeland 35.
Refa: Jon Moss
No comments:
Post a Comment