Tootenham walikuwa wa kwanza kumpoteza Fulbeki wao Kyle Naughton alietolewa kwa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 30 na Refa Chris Foy kwa kushika Mpira na pia kuwapa Penati West Ham lakini Mark Noble alipiga nje Penati hiyo.
Kipindi cha Pili, West Ham walimpoteza Beki wao James Collins aliepewa Kadi za Njano mbili ndani ya Dakika 9 tu na kupewa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 63.
Bao la ushindi la Tottenham lilifungwa na Fulbeki Eric Dier aliemzunguka Kipa na kufunga katika Dakika ya 90.
VIKOSI:
West Ham: Adrian, O'Brien, Reid, Collins, Cresswell, Noble, Drampis, Vaz Te, Nolan, Downing, Cole.
Akiba: Zarate, Demel, Diame, Jaaskelainen, Poyet, Valencia, Burke.
Sam Allardyce
Tottenham Hotspur: Lloris, Naughton, Kaboul, Dier, Rose, Bentaleb, Capoue, Lennon, Lamela, Eriksen, Adebayor.
Akiba: Soldado, Holtby, Townsend, Kane, Dawson, Friedel, Davies.
REFA: Chris Foy
No comments:
Post a Comment