Timu hizi 32 zitapangwa katika Makundi 8 ya Timu 4 kila moja na Timu za Kundi moja zitacheza mtindo wa Ligi kwa Mechi za Nyumbani na Ugenini.

Kila Kundi litatoa Washindi Wawili kusonga Raundi ya Mtoano ya Timu 16.
Shughuli za Droo hii zitaanza Saa 12 Dakika 45 Jioni, Bongo Taimu, kwenye Ukumbi wa Grimaldi Forum huko Monaco.
Kwenye Droo hiyo Timu hizo 32 zimegawanywa katika Vyungu Vinne na kila Chungu kitatoa Timu moja ili kuunda Kundi moja.
Kwa Klabu za England, Chelsea na Arsenal zipo Chungu Namba 1, Man City wapo Chungu Namba 2 na Liverpool Chungu Namba 3.
Msimu uliopita, Man City walitolewa Raundi ya Mtoano ya Timu 16 na FC Barcelona na Chelsea kubwagwa Nusu Fainali na Arsenal kumalizia Raundi ya Mtoano ya Timu 16 wakati kwa Liverpool hii ni mara yao ta kwanza kushiriki tangu Mwaka 2009/10.

Best and worst-case scenarios for the Premier League teams...
CHELSEA
Best: Chelsea, Basle, Sporting Lisbon, Maribor
Worst: Chelsea, Paris St Germain, Ajax, Roma
ARSENAL
Best: Arsenal, Basle, Sporting, Maribor
Worst: Arsenal, PSG, Ajax, Roma
MANCHESTER CITY
Best: Benfica, Manchester City, Olympiacos, Maribor
Worst: Real Madrid, Manchester City, Ajax, Roma
LIVERPOOL
Best: Benfica, Basle, Liverpool, Maribor
Worst: Real Madrid, PSG, Liverpool, Roma ends
CHELSEA
Best: Chelsea, Basle, Sporting Lisbon, Maribor
Worst: Chelsea, Paris St Germain, Ajax, Roma
ARSENAL
Best: Arsenal, Basle, Sporting, Maribor
Worst: Arsenal, PSG, Ajax, Roma
MANCHESTER CITY
Best: Benfica, Manchester City, Olympiacos, Maribor
Worst: Real Madrid, Manchester City, Ajax, Roma
LIVERPOOL
Best: Benfica, Basle, Liverpool, Maribor
Worst: Real Madrid, PSG, Liverpool, Roma ends
No comments:
Post a Comment