BUKOBA SPORTS

Tuesday, August 19, 2014

MISS TEMEKE 2014 KUFANYIKA AGOST 22 TCC KLABU JIJINI DAR ES SALAAM.


Vimwana wa Miss Temeke 2014 wakiwa kwenye pozi la picha,ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao ya kuelekea kwenye kinyang'anyiro chao kitakachofanyika kwenye Ukumbi wa TCC klabu Chang'ombe jijini Dar es Salaam Agosti 22,2014. Jumla ya washiriki 17 watapanda jukwaani siku hiyo kuwania taji hilo huku Globu ya Jamii ikimzawadia kitita cha Sh. Mil 1 Mrembo atakaeonekana ana mvuto wa picha (Miss Photogeni 2014).

Wakiwa wamepozi wenyewe.

Wakitembea kwa mwendo wa madaha mithili ya Twiga mbugani.

No comments:

Post a Comment