Burnley huenda wakawatumia wachezaji wake mahiri akiwemo Lukas Yukiviz ambaye amesajiliwa msimu huu wa majira ya joto akiungana na Danny Ings kuunda safu bora ya ushambuliaji kama ambavyo wamejidhihirisha ubora wao katika michezo ya majaribio kabla ya ligi. Mlinda mlango wao pia sasa yupo salama na timamu kuikabili Chelsea baada ya kukosa michezo kadhaa ya majaribio kutokana na majeraha ya hapa na pale.
Chelsea wao huenda kocha Jose Mourinho akawaanzisha wachezaji wake wapya Cesc Fabregas, Diego Costa na Filipe Luis na bila shaka golikipa Thibaut Courtois.
The Blues wana nafasi ya kujaribu uimara wa goti la mkongwe Didier Drogba, huku wachezaji wengine kadhaa wakielezwa kuwa na hofu ya majeraha.
BPL-LIGI KUU ENGLAND
RATIBA MECHI ZIJAZO:
Jumamosi Agosti
14:45 Aston Villa v Newcastle
17:00 Chelsea v Leicester
17:00 Crystal Palace v West Ham
17:00 Southampton v West Brom
17:00 Swansea v Burnley
19:30 Everton v Arsenal
Jumapili Agosti 24
15:30 Hull v Stoke
15:30 Tottenham v QPR
18:00 Sunderland v Man United
Jumatatu Agosti 25
22:00 Man City v Liverpool
Jumamosi Agosti 30
14:45 Burnley v Man United
17:00 Man City v Stoke
1700 Newcastle v Crystal Palace
17:00 QPR v Sunderland
17:00 Swansea v West Brom
17:00 West Ham v Southampton
19:30 Everton v Chelsea
Jumapili Agosti 31
15:30 Aston Villa v Hull
18:00 Leicester v Arsenal
No comments:
Post a Comment