BUKOBA SPORTS

Monday, August 18, 2014

KITENGE AONDOKA RADIO ONE/ ITV


Maulid Kitenge.
MTANGAZAJI wa michezo wa Radio One Stereo, Maulid Kitenge kupitia akaunti yake ya Twitter hivi punde ametangaza kuondoka rasmi katika radio hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 14. Kupitia Twitter, Kitenge ameandika hivi:
..

10394812_921413291208334_3496295977911549106_n

No comments:

Post a Comment