BUKOBA SPORTS

Sunday, August 3, 2014

REAL MADRID 1 vs MAMCHESTER UNITED 3


Ashley Young amefunga bao mbili peke yake katika kipindi cha kwanza dakika ya 21 na dakika ya 37 huku  Javier Hernández akifunga bao la tatu katika dakika ya 80. Real Madrid wao wamepata bao lao moja kwa Mkwaju wa penati kupitia kwa Gareth Bale katika dakika ya 27.
Ashley Young akishangilia bao lake dhidi ya  Real Madrid

Umati wa Mashabiki wapatao  109,000 walitinga katika Uwanja wa  Michigan huko Ann Arbor

Timu zilijipanga tayari kwa kuanza kiputeFriendly: Danny Welbeck and Pepe challenge for a cross as United have the best of the early exchangesDanny Welbeck akichuana na PepeBright start: Rooney congratulates Young after his cross inadvertently put United back in front against MadridRooney akimpongeza Ashley Young baada ya kumpa Krosi safi na kufunga bao

No comments:

Post a Comment