BUKOBA SPORTS

Tuesday, August 19, 2014

WACHEZAJI WA ARSENAL WAWAFANYIA MAZOEZI YA NGUVU BESIKTAS...TAYARI KUKIPIGA UEFA CHAMPIONS LEAGUE LEO HII USIKU UTURUKI!!


Wachezaji wa Arsenal wakifanya mazoezi tayari kukutana uso kwa uso kwenye Mchezo  wao wa Uefa champions ligi leo usiku na Besiktas

Arsenal walifanya mazoezi hayo kwenye uwanja wao wa mazoezi wa London Colney
Arsene Wenger akiwapa somo wachezaji wake wakati wa mazoezi

Meneja Wenger akiwa tayari kuivaa  Besiktas leo hii jumanne

Mathieu Flamini na Laurent Koscielny

Jack Wilshere akiwa anafanya mazoezi makali tayari kwa kucheza Uefa

Jembe jipyaa!!

Wilshere na Oxlade-Chamberlain wakifanya mazoezi jana jumatatu

  Sanchez
Tomas Rosicky kuongozana na wenzake huko  Istanbul

Wojciech Szczesny, Oxlade-Chamberlain, Chambers na Wilshere wakijiandaa kupaa kuelekea Uturuki.

No comments:

Post a Comment