Alonso, mwenye Miaka 32, sasa ataichezea Bayern hadi Mwaka 2016 baada ya kusaini Mkataba wa Miaki Miwili.
Jumatano, Alonso alitangaza kustaafu kuichezea Timu ya Taifa ya Spain.
Pengine Alonso ameikimbia Real baada ya Klabu hiyo kuwanunua Viungo Toni Kroos kutoka Bayern na James
Real inatarajiwa kumsaini Kiungo wa Brazil Luiz Gustavo ambae aliwahi kuwa Mchezaji wa Bayern ambae sasa yupo Wolfsburg ili kuziba pengo la Alonso.
BUNDESLIGA
RATIBA:
Ijumaa Agosti 29
FC Augsburg BV vs Borussia Dortmund
Jumamosi Agosti 30
Bayer 04 Leverkusen vs Hertha Berlin
Hamburger SV v SC Paderborn 07
VfB Stuttgart v FC Köln
SV Werder Bremen v TSG Hoffenheim
Wolfsburg v Eintracht Frankfurt
Schalke 04 v Bayern Munich

FSV Mainz 05 v Hannover 96
SC Freiburg v Borussia Mönchengladbach
No comments:
Post a Comment