Ronaldo, ambae ndie Mchezaji Bora Duniani, aliihama Man United Mwaka 2009 na kujiunga na Real Madrid lakini Siku zote amekataa kukanusha kwamba hatarudi Old Trafford ambako ndiko Ustaa wake ulichipukia.
Breen-Turner amedai hivi sasa Ronaldo amekerwa na Sera ya kuuza Wachezaji ya Real ambako hivi karibuni walimuuza Angel Di Maria huko Man United kwa Dau la Rekodi ya Uingereza na pia Xabi Alonso kwenda Bayern Munich.
Breen-Turner amedai, safari hii, Ronaldo alifuatana na Sergio Ramos kumwona Perez na kutaka Di Maria asiuzwe lakini hawakusikilizwa na hilo limemuudhi sana Ronaldo.
No comments:
Post a Comment