Dirisha la Uhamisho lilifungwa rasmi Jana Usiku lakini Uhamisho wa Cleverley ulichelewa lakini hivi sasa Bodi ya Ligi Kuu imeubariki.

Makubaliano kati ya Man United na Aston Villa yana vipengele kwamba Cleverley, mwenye Mkataba na Man United hadi 2015, anaweza kurudi Old Trafford Mwezi Januari au Villa imsaini kwa kudumu katika Kipindi hicho cha Usajili.
Cleverley, mwenye Miaka 25, amekulia toka Vyuo vya Soka vya Man United tangu akiwa mdogo na kuichezea Klabu hiyo Mechi 79.
Beckham amesema Arsenal wamepata dhahabu kwa kumnunua Welbeck na kuonyeshwa kusikitishwa kwake kumpoteza Mchezaji aliekuzwa kipaji toka Chuo cha Soka cha Man United tangu akiwa na Umri wa Miaka 8.
No comments:
Post a Comment