
Remy, mwenye Miaka 27, alitakiwa pia na Arsenal lakini mapema hii Leo Klabu hiyo ilijitoa na kuiachia njia Chelsea kumnasa.
Mapema kwenye Kipindi hiki cha Uhamisho Remy alikuwa ajiunge na Liverpool lakini Klabu hiyo ilidai alishindwa upimwaji Afya yake kitu ambacho kiliwashangaza sana QPR.
No comments:
Post a Comment