BUKOBA SPORTS

Monday, September 1, 2014

UHAMISHO: CHELSEA YAMNUNUA LOIC REMY

Chelsea imetangaza kumsaini Straika wa Queens Park Rangers kutoka France Loic Remy kwa Dau la Pauni Milioni 10.5.
Remy, mwenye Miaka 27, alitakiwa pia na Arsenal lakini mapema hii Leo Klabu hiyo ilijitoa na kuiachia njia Chelsea kumnasa.
Mapema kwenye Kipindi hiki cha Uhamisho Remy alikuwa ajiunge na Liverpool lakini Klabu hiyo ilidai alishindwa upimwaji Afya yake kitu ambacho kiliwashangaza sana QPR.

No comments:

Post a Comment