Novak Djokovic amefanikiwa kumtupa nje ya michuano ya wazi ya Marekani " Us Open " mchezaji wa Uingereza Andy Murray na kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo.
Djokovic sasa atacheza na Kei Nishikori wa Japan kwenye hatua hiyo ya nusu fainali. 
Andy Murray akijaribu kuurudisha mpira uliopigwa na Novac Djokovic

Novac Djokovic akishangilia kutinga nusu fainali ya michuano hiyo.
No comments:
Post a Comment