Coutinho aliifungia bao safi Liverpool baada ya kupata pasi kutoka kwa Jordan Henderson katika dakika ya 45 kipindi cha kwana nao Arsenal waliweza kusawazisha katika dakika chache dakika ya za nyongeza za kipindi cha kwanza. Bao likifungwa na Mathieu Debuchy baada ya kupigwa frii kiki na kutokea gonga gonga ya kichwa kutoka kwa Mathieu Flamini.
Mpaka mapumziko ilikuwa ni 1-1 Arsenal wamesawazisha ndani ya dakika moja tu katika kipindi cha kwanza mwishoni.
No comments:
Post a Comment