BUKOBA SPORTS

Wednesday, January 21, 2015

AFCON 2015: WENYEJI EQUATORIAL GUINEA SARE ZAFATA LEO!! WASHINDWA KUIFUNGA BURKINA FASSO

Hakuna Mbabe!! mpira wamalizika 0-0TIMU Mwenyeji Equatorial Guinea leo wametoka Sare ya 0-0 na Burkina Faso katika Mechi zao za Pili za Kundi A la Mashindano ya Mataifa ya Afrika, AFCON 2015, iliyochezwa Estadio de Bata Mjini Bata na wote kujiweka njia panda kutinga Robo Fainali.
Kwenye Kundi A, Gabon ndio wanaongoza wakiwa na Pointi 3 baada ya Mechi 1 wakifuatiwa na Equatorial Guinea wenye Pointi 2 kwa Mechi mbili na Congo wana Pointi 1 kwa Mechi moja huku Burkina Faso wakiwa na Pointi 1 baada ya Mechi 2.

No comments:

Post a Comment