BUKOBA SPORTS

Monday, January 26, 2015

REAL MADRID WAMTAMBULISHA MCHEZAJI WAO MPYA LUCAS SILVA LEO JUMATATU MCHANA.


Lucas Silva akitabasamu wakaati wa kutambulishwa leo mchana

Silva kuvaa jezi namba 16

Silva ametambulishwa leo Jumatatu mchana na hapa akionesha mambo yake.

Mapaparazi wakichukua picha za Silva

Ugeni kwenye Uwanja wa Bernabeu

Vipimo vilienda poa vya Silva  kwenye Hospital ya Sanitas La Moraleja

Mambo poa!! Silva akijipongeza baada ya mambo kwenda poa!!

No comments:

Post a Comment