James Anthony Wilson aliyeingia kipindi cha pili kuchukua nafai ya Van Persie dakika ya 66 aliifungia bao la tatu Man United na kufanya 3-0 dhidi ya Cambridge United katika dakika ya 73.
2-0 Rojo akishangilia bao lake..
Rojo aliipiga bao la pili la kichwa dakika ya 32 na kufanya 2-0 baada ya kuunganisha pasi kutoka kwa Robin Van Persie.
Juan Mata aliipatia bao la kuongoza Man United katika dakika ya 25 kipindi cha kwanza baada ya kuunganisha mpira wa kichwa wa Fellaini ndani ya boksi na kufanya 1-0 dhidi ya Cabridge United.
Juan Mata akishangilia bao lake

Juan Mata akifanya yake huku mchezaji wa Cambridge Luke Chadwick akimwangalia

Di Maria akikacha na mpira..
Mwamuzi ni J. Moss
KIKOSI CHA MAN UNITED:
Manchester United:
De Gea, McNair, Smalling, Evans, Rojo, Blind, Fellaini, Mata, Rooney, Di Maria, Van Persie.
AKIBA:Valdes, Jones, Valencia, Herrera, Young, Falcao, Wilson.
No comments:
Post a Comment