Kutokana na matatizo mbalimbali ya kiutendaji yaliyojitokeza kwenye uendeshaji, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linatoa hadhari kuwa shughuli zote za mpira wa miguu zinazohusu mkoa wowote wa Tanzania Bara zitasimamiwa na Chama cha Mpira wa Miguu cha Mkoa husika, yakiwemo mashindano ya Kombe la Taifa la Wanawake.
No comments:
Post a Comment