BUKOBA SPORTS

Monday, March 9, 2015

JK AONGOZA MAADHIMISHOA YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MJINI MOROGORO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa kwa furaha alipowasili uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro Jumapili Machi 8, 2015 kuongoza kilele cha sherehe za Siku ya Wanawake Duniani iliyoadhimishwa kitaifa mjini humo

Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini Mohamed Aziz Abood

Rais Kikwete akisalimiana na viongozi wa dini mkoa wa Morogoro

Rais Kikwete akisalimiana na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Alvaro Rodriguez

Sehemu ya umati uliofurika uwanjani hapo

Rais Kikwete akiwa meza kuu. Wengine kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro na Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk Rajab Rutengwe, Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Alvaro Rodriguez

Bendi ya Jeshi la Polisi likiongoza maandamano makubwa ya wanawake yakiingia uwanjani

Rais Kikwete na Meza kuu ikipokea maandamano hayo

Maandamano

Kinamama wakisherehekea siku yao

Rais Kikwete akipungia maandamano

TTCL wamependeza na miavuli yao


Benki ya posta





















Kina baba hawakuwa nyuma
















Msanii Starah Thomas akiimba wimbo maalum akisaidiwa na wanafunzi

Msanii Peter Msechu akiimba na kucheza na wanafunzi

Mtoto Miriam Edward akitumbuiza

Mwanadada hodari Hazala 'The Ball Juggler' Mohammed akipiga danadana

Vijana wa Sifa Theatre Troupe wakitumbuiza


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk Rajab Rutengwe akisoma utangulizi wa sherehe hizo

Mwakilishi wa kinamama wajasiriamali wa Morogoro Bi. Emmy Kiula akisoma Risala yao

Rais Kikwete akipokea risala toka kwa Mwakilishi wa kinamama wajasiriamali wa Morogoro Bi. Emmy Kiula


Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Alvaro Rodriguez akihutubia kwa Kiswahili fasaha

Rais Kikwete akimpongeza Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Alvaro Rodriguez kwa hotuba nzuri, Kushoto ni Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba

Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Ulaya (EU) Balozi Filiberto Ceriani Sebregondi pia akihutubia hadhara hiyo kwa Kiswahili fasaha

Sehemu ya Umati

Umati wa wakaazi waMorogoro na vitongoji vyake

Mabalozi wa nchi mbalimbali walihudhuria

Mabalozi na viongozi wa taasisi mbalimbali zinasohudumia wanawake

Umati

Viongozi wa vyama vya siasa wakitambulishwa

Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba akimkabidhi Rais Kikwete tuzo maalum ya Wanawake kwa mchango wake mkubwa wa kujali maslahi yao

Rais Kikwete akifurhia tuzo yake

Rais Kikwete akimkabidhi tuzo Celina Ompeshi Kombani mbunge wa jimbo la Ulanga Mashariki

Rais Kikwete akimtuza Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe Muhingo Rweyemamu kwa kazi kubwa aliyoifanya kuendeleza elimu ya wasichana alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni

Mwakilishi wa TAMWA akipokea tuzo kwa kazi nzuri inayofanywa na taasisi hiyo

Mwakilishi wa TAMWA akipokea tuzo ya pili kwa kazi nzuri inayofanywa na taasisi hiyo

Tuzo kwa kazi nzuri

Tuzo kwa masista wanaosaidia kupiga vita ukeketaji

Rais Kikwete akihutubia

Rais Kikwete akifafanua jmbo katika hotuba yake

Rais Kikwete akiagana na viongozi wa dini

Baada ya hotuba Rais Kikwete akipiga picha ya pamoja na makundi mbalimbali ya wadu wa Wanawake








Rais Kikwete akitembelea mabanda ya maonesho

Rais Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa PPF Morogoro

Rais Kikwete akiongea na mtoto Reuben Boniface mwenye umri wa miaka 9 na mwanafunzi wa darasa la nne shule ye Elu Children Care

Rais Kikwete katika banda la WOGE

Rais Kikwete akikagua banda la Halmashauri ya Mkoa wa Morogoro

Rais Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa Halmashauri ya Morogoro

No comments:

Post a Comment