Mara alipokabidhiwa Umeneja mwanzoni mwa Msimu huu, Van Gaal alielekezwa 4 Bora ndio lengo la chini kwa Man United na ili kumpa motisha akawekewa hiyo Bonasi.
Msimu uliopita, Man United chini ya David Moyes aliefukuzwa, walimaliza Nafasi ya 7 kwenye Ligi na kukosa kucheza Ulaya na hilo limeathiri mapato yao na pia kuvuruga mwonekano wao kama moja ya Klabu kubwa Duniani.
Hivi sasa Man United wapo Nafasi ya 4 kwenye Ligi wakiwa Pointi 5 mbele ya Timu ya 5 Liverpool huku Mechi zikibakia 8 Msimu kumalizika.
No comments:
Post a Comment