BUKOBA SPORTS

Monday, March 9, 2015

NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA LIVE MJINI STUTTGART ,GERMANY. Africa Unite Party Jumamosi 14 March 2015

Bendi ya maarufu Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni aka Anunaki aliens bendi hiyo inatarajiwa kutumbuiza katika onyesho maalumu la AFRICA UNITE PARTY litakalofanyika katika ukumbi wa VTS uliopo mtaa wa Augusburger Str.442 D-70327 mjini Stuttgart,nchini Ujerumani.

Onyesho hilo limeandaliwana shirika la Afrikaktiv e.V wakishirikiana na shirika la Cabaret du Monde,Ngoma Africa band iliyozoeleka kwa kuwatia kiwewe washabiki wake kilakona duniani wataporomosha muziki moto moto na mdundo wao maarafukama " Extraordinary Bongo Dansi" mdundo unaotingisha bila ya kuwa nampinzani huko ughaibuni, bendi hiyo inadumu katika medani ya muziki kwamuda wa miaka 23 na kufanikiwa kujizolea washabiki kila kona.

Ticket za onyesho hilo zinapatikana kwa simu ( booking): Call9+49 0)152 12091242 au +49(0)152 106106137 Mnakaribishwa wote,pia usikose kuwasikilizaFFU-Ughaibuni at www.ngoma-africa.com

No comments:

Post a Comment