BAO za Barcelona zilifungwa na Lionel Messi dakika ya 14 kipindi cha kwanza na Neymar dakika ya 31.
Sevilla FC walipigana kufa na kupona huku wakijua wako nyuma ya bao 2-0 dhidi ya Barca.
Na Sevilla FC bao limefungwa dakika ya 38 na Ever Banega Kipindi cha kwanza kwa kufanya 2-1.
Kipindi cha pili Sevilla FC walisawazisha tena bao dakika za mwishoni na kufanya 2-2 kupitia kwa Kevin Gameiro dakika ya 84.
Sevilla FC walipigana kufa na kupona huku wakijua wako nyuma ya bao 2-0 dhidi ya Barca.
Na Sevilla FC bao limefungwa dakika ya 38 na Ever Banega Kipindi cha kwanza kwa kufanya 2-1.
Kipindi cha pili Sevilla FC walisawazisha tena bao dakika za mwishoni na kufanya 2-2 kupitia kwa Kevin Gameiro dakika ya 84.
No comments:
Post a Comment