Meneja wa Bayern Munich Pep Guardiola akiteta na jambo wakati wa Mazoezi yao kujiandaa na kipute cha kukata na shoka kati yao na Barcelona kesho Jumatano kwenye Klabu Bingwa Ulaya, UEFA Champions League.
Robert Lewandowski akiwa amevaa Mask kujilinda na kesho anategemea kuvaa kwa ajili ya kujilinda kuumia zaidi wakati wa Mtanange huo wa kwanza.
Guardiola anarudi kuiwinda Timu yake ya Zamani mwaka 2008 na 2012 na sasa anarudi kukutana nayo uso kwa uso kwa mara nyingine huku wakionekana kuwa Bayern kuwa na Ubabe zaidi ya Barca kitu kinachofanya Baadhi ya Mashabiki kuona itakuwa ni Shughuli pevu.
No comments:
Post a Comment