Jumapili, Jose Mourinho aliiongoza Chelsea kutwaa Ubingwa wake wa 3 wa Ĺigi Kuu England akiwa na Klabu hiyo baada ya kuifinga Crystal Palace 1-0.
Sir Alex alikuwa na Miaka 51 alipoanza kuiongoza Manchester United kutwaa Taji la kwanza la Ligi Kuu England Msimu wa 1992/93 na kuendelea kubeba mengine 12 baada ya hapo.
No comments:
Post a Comment