BUKOBA SPORTS

Saturday, May 2, 2015

SEVILLA 2 - 3 REAL MADRID, CRISTIANO RONLDO APIGA HAT-TRICK, AKIIPA USHINDI REAL...SASA NI WAO NA BARCA KILELENI!


Cristiano Ronaldo ameiongoza  Real Madrid kushinda kwa kufunga bao tatu peke yake, Hat-trick dhidi ya Sevilla.

Ronaldo alifunga bao mbili faster faster dakika ya  36 na 37 dhidi ya Sevilla

Ronaldo akishangilia bao lake akiwa na  Marcelo pamoja na  Javier Hernandez Kiulaini!! lakini mechi ya leo Baba mhh!!
Cristiano Ronaldo Dakika ya 36 bao na dakika ya 37 Cristiano Ronaldo aliifungia bao la pili na kufanya 2-0. Lakini dakika za mwishoni mwa kipindi cha kwanza Ramos alifanya rafu na refa kutoa penati iliyofungwa na Mchezaji wa Sevilla Carlos Bacca dakika ya 45 na kwenda mapumziko bao 2-1. Kipindi cha pili dakika ya 68 Cristiano Ronaldo alipiga hat-trick kwa kuifungia Real bao la tatu, Huku bao la pili la Sevilla likifungwa dakika ya na 79 na Vicente Iborra VIKOSI:
Sevilla XI:
Rico; Figueiras, Carriço, Kolodziejczak, Trémoulinas; Krychowiak, Mbia; Vidal, Banega, Reyes; Bacca.
Subs: Navarro, Gameiro, Iborra, D Suárez, M Pérez, Moreno, SolIs.

Real Madrid: Casillas; Carvajal, Varane, Pepe, Marcelo; Ramos, Kroos; Isco, Rodriguez, Ronaldo; Hernandez.
Subs: K Navas, Coentrao, Bale, Arbeloa, Nacho, Jese, Illarramendi.

No comments:

Post a Comment