BUKOBA SPORTS

Tuesday, May 5, 2015

REAL MADRID WAJIFUA KWENYE UWANJA WA JUVENTUS HUKO TURIN, TAYARI KWA MPAMBANO USIKU HUU KWENYE UEFA CHAMPIONS LEAGUE.


Wachezaji wa Real Madrid  walifanya mazoezi yao kwenye Uwanja wa Juventus huko Turin tayari kwa kukwaana na Juve kwenye mchezo wa Nusu Fainali usiku huu, Mwamuzi ni Martin Atkinson

Wachezaji wa Real wakifanya mazoezi yao leo

Staa wa Real Madrid  Cristiano Ronaldo akipasha Uwanjani huko Turin
Pepe akiongelea juu ya mchezo wa Uefa dhidi ya Juve na kutoa angalizo kwa mchezaji wa Zamani wa Manchester City Straika Carlos Tevez.

Ronaldo na James Rodriguez wakiteta kwa furaha

Winga wa Wales  Gareth Bale kati anatarajia kupangwa katika kikosi cha kwanza dhidi ya Juve usiku huu huko Turin

Pepe na wenzake wakipasha!
Rodriguez  akiwa karibu na Fabio Coentrao kulia

Meneja wa Real Madrid  Carlo Ancelotti akipanga jinsi atakavyo wapanga wachezaji wake katika Uwanja huo na kuuzoea kwa muda

Mchezaji wa Mkopo kutoka Manchester United  Javier Hernandez

Ronaldo  akicheka jambo karibu na kocha wake Ancelotti

Bale na Toni Kroos
Difenda wa Real Sergio Ramos na  Marcelo wakijiandaa kuwakabili wakina Tevez

No comments:

Post a Comment