BUKOBA SPORTS

Sunday, June 28, 2015

BUNDESLIGA 2015-2016 RATIBA YATOKA!! KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA AUGUST 14, 2015

Ratiba ya Msimu mpya wa 2015-16 wa Bundesliga imeanuliwa na Mabingwa Watetezi Bayern Munich wataanza wakiwa Nyumbani kwa kucheza na Hamburg hapo Agosti 14.
Mechi nyingine ya mvuto ya Wiki ya ufunguzi ni ile ya Borussia Dortmund, wenye Kocha mpya Thomas Tuchel aliemrithi Juergen Klopp, wakiwa Nyumbani kuivaa Borussia Monchengladbach.
Baadhi ya Mechi nyingine za ufunguzi ni Werder Bremen vs. Schalke, Bayer Leverkusen vs. TSG Hoffenheim wakati Augsborg wakiwa Nyumbani kucheza na Hertha Berlin.
KWA RATIBA NZIMA YA BUNDESLIGA BONYEZA HAPA

No comments:

Post a Comment