City waliomaliza katika nafasi ya pili msimu huu wako mbioni kuratibu mabadiliko ya vipengee vya kanuni ya shirikisho la soka nchini Uingereza itakayohitaji vilabu kuimarisha idadi ya wachezaji wa asili ya Uingereza.
Yamkini klabu hicho tajiri hakina budi ilakuwasajili wachezaji zaidi ya wawili baada ya kuondoka kwa James Milner na Frank Lampard.
"kwa hakika japo nimekuwa kisoka humuhumu nchini hamu yangu kubwa ni kusalia Arsenal katika msimu ujao''alisema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 anayeichezea timu ya taifa ya Uingereza.
Wilshere alishiriki mechi 9 pekee msimu uliopita baada ya kujeruhiwa mguu na kulazimika kukaa nje kwa takriban miezi 6.
No comments:
Post a Comment