
Klabu ya Manchester United ina hamu ya kumsajili kiungo wa kati wa Bayern Bastian Schweinsteiger na mlinzi wa Real Madrid Sergio Ramos.
Kocha wa klabu hiyo Louis Van Gaal anajaribu kuimarisha kikosi chake baada ya kumaliza katika nafasi nne katika jedwali la ligi ya EPL.
Kandarasi ya Ramos itakamilika mwaka 2017 huku ile ya Schweinsteiger ikiendelea hadi mwisho wa mwaka 2016.
No comments:
Post a Comment