BUKOBA SPORTS

Sunday, June 21, 2015

COPA AMERICA: COLOMBIA 0 vs 0 PERU, SARE YAWASOGEZA PERU HATUA YA ROBO FAINALI, COLOMBIA CHUPUCHUPU!!

Radamel Falcao, James Rodriguez na Jackson Martinez wamechemsha, Wako nafasi ya tatu kwenye kundi lao sasa.
SARE HII imeipandisha Peru nafasi ya 1 wakiwa na pointi 4 sawa na Clombia wenye pointi 4 ambao wako nafasi ya pili Lakini matokeo ya Brazil na Venezuela usiku huu yataitibulia Timu hiyo ya Colombia hivyo kuonekana nafasi yao kuishia hapo labda kama watashika nafasi ya tatu. Brazil na Venezuela wote wana pointi 3 kila mmoja.

Hivyo Peru wamejikatia Tiketi tayari ya kucheza Robo Fainali ya Copa America tayari.

Kundi C, Colombia na Peru zilitoka 0-0 na zote kutinga Robo Fainali

No comments:

Post a Comment