Liverpool ilipata ushindi wa matuta wa 3-2 dhidi ya klabu ya daraja la pili ya Carslisle baada ya kuishia na sare ya 1-1.
Liverpool itakutana na Aston Villa na kisha Everton katika michezo inayofuata ya ligi kuu England.
Lawrenson amesema kuwa Rodgers ''yupo katika hatari kubwa'' na timu hiyo imekosa hamasa.
No comments:
Post a Comment