Kwenye Mechi ya kwanza iliyochezwa huko Germany Wiki iliyopita Timu hizi zilitoka Sare 0-0.
Penati hiyo ya Liverpool ilifungwa na James Milner na ilitolewa kwa madai kuwa Mchezaji wa Augsburg aliunawa Mpira.
Liverpool watamjua mpinzani wao kwenye Raundi inayofuata baada ya Droo itakayofanyika Ijumaa Februari 26 huko Nyon, Uswisi.
Augsburg XI: Hitz , Verhaegh, Janker, Klavan, Stafylidis, Kohr, Esswein, Koo, Altintop, Werner, Caiuby.
Subs: Manninger, Opare, Parker, Moravek, Bobadilla, Max, Rieder.
Liverpool XI: Mignolet, Clyne, Lucas, Sakho, Moreno, Can, Henderson, Milner, Firmino, Coutinho, Sturridge.
Subs: Ward, Toure, Benteke, Origi, Smith, Teixeira, Chirivella
No comments:
Post a Comment