Marudiano
Mechi zote Saa 4 Dakika 45 Usiku
Kwenye Mabano Matokeo Mechi za Kwanza
JUMANNE 8 MAR 2016
Real Madrid v AS Roma [2-0]
VfL Wolfsburg v KAA Gent [3-2]
JUMATANO 9 MAR 2016
20:00 Zenit St Petersburg v Benfica [0-1]
Chelsea v Paris St Germaine [1-2]

Real Madrid, ambao Jumanne wako kwao Santiago Bernabeu kurudiana na AS Roma, walishinda Mechi ya Kwanza 2-0 wakati VfL Wolfsburg waliichapa KAA Gent na Kesho Jumanne wapo kwao huko Germany.
Jumatano pia zipo Mechi 2 za Marudiano ambapo Zenit Saint Petersburg wapo kwao Urusi huku wakiwa nyuma kwa Bao 1-0 walipofungwa Mechi ya Kwanza na Benfica.
Uwanjani Stamford Bridge, Jijini London, Chelsea, baada ya kuchapwa 2-1 na Paris St Germaine huko Paris, France, wanahitaji ushindi wa 1-0 au zaidi ili wafuzu.
Wiki ijayo, Raundi ya Mtoano ya Timu 16 itakamilika kwa Mechi 4.
REFA: A Mateu Lahoz (Spain)

RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 16
Marudiano
JUMANNE 15 MAR 2016
Atletico Madrid v PSV Eindhoven [0-0]
Man City v Dynamo Kiev [3-1]
JUMATANO 16 MAR 2016
Barcelona v Arsenal [2-0]
Bayern Munich v Juventus [2-2]
No comments:
Post a Comment