Shaw, mwenye Miaka 20, aliumia huko Amsterdam, Netherlands hapo Septemba 15 katika Mechi ya UEFA CHAMPIONS LIGI ambayo Man United walifungwa 2-1 na PSV Eindhoven kufuatia kukatwa na Beki Hector Moreno.
Ikiwa Shaw atarejea vizuri Mazoezini Mwezi Aprili basi anaweza kupata Mechi kabla Msimu huu wa 2015/16 kumalizika katikati ya Mwezi Mei.

No comments:
Post a Comment