JAMIE VARDY KUSHTAKIWA NA FA KWA UTOVU WA NIDHAMU.
Vardy kushtakiwa kwa utovu wa nidhamu na
FA, Jamie Vardy atashtakiwa kwa matendo yake mabaya siku ya Jumapili walipocheza dhidi ya West Ham. Kadi nyekundu aliyooneshwa katika mechi ya sare ya 2-2 litamfanya kuwa nje ya Dimba na atakosa mechi mwishoni mwa wiki hii dhidi Swansea na pia na safari ya Manchester United Mei 1
No comments:
Post a Comment