BUKOBA SPORTS

Thursday, April 21, 2016

FULL TIME: ARSENAL 2 v 0 WEST BROM ALBION, ALEXIS SANCHEZ AIPA USHINDI GUNNERS!

Arsenal's Alexis Sanchez celebrates scoring their first goal of the game
BAADA ya Sare 2 katika Mechi zao mbili zilizopita za Ligi, Alexis Sanchez alipiga Bao 2 na kuipa Arsenal ushindi wa Bao 2-0 walipocheza na West Bromwich Albion Uwanjani Emirates.

Bao hizo za Sanchez zilifungwa katika Dakika za 6 na 38 na kuwarusha hadi Nafasi ya 3 na kujiweka salama kidogo kumaliza ndani ya 4 Bora wakiwa Pointi 2 mbele ya Man City walio Nafasi ya 4 na Pointi 4 mbele ya Timu ya 5 Man United.


Arsenal bao zake zimefungwa na 
Alexis Sánchez 6
Alexis Sánchez 38
Stephane Sessegnon of West Bromwich Albion competes with Nacho Monreal and Laurent Koscielny of ArsenalArsene Wenger manager of ArsenalWest Brom's Ben Foster fumbles the ball through his legsArsenal's Alexis Sanchez celebrates scoring their first goalArsenal's Alexis Sanchez scores their second goalHector Bellerin of Arsenal breaks past James McClean of WBA

No comments:

Post a Comment