Mfilipino huyo ambaye alishindwa katika pigano lake kuu dhidi ya bondia tajiri zaidi duniani Floyd Mayweather amekuwa bingwa katika vitengo mbali mbali katika kipindi cha miaka 21 iliyopita tangu alipoanza ndondi.
Amesema kuwa anastaafu ndondi za kulipwa iliawahudumie wananchi kisiasa.






No comments:
Post a Comment