
Pingu za maisha zilifungwa katika Jiji la Mahaba Kule Tanga kunani mara baada ya bibi harusi kuagwa katika jiji la Maraha Na Karaha la Dar Es Salaam february 2016. Pamoja na ndoa hiyo harusi yake ilihudhuliwa na wakali wa bongo fleva wengi tu huku Kala Jeremiah akiwa best man wa Roma Mkatoliki




Kila la Heri Roma Mkatoliki Roma Mkatoliki afunga pingu za maisha Jijini Tanga
No comments:
Post a Comment