Tanzania imeshacheza Mechi 3 na kuifunga India 3-1 na kutoka Sare na USA 1-1 na kisha South Korea 1-1.

Ikiwa Serengeti Boys wataifunga Malaysia basi njia yao itakuwa nyeupe ikiwa pia Jumamosi Mechi kati ya USA na South Korea itaisha kwa Timu moja kushinda.
MSIMAMO ULIVYO KWA SASA:
-2016 AIFF Youth Cup ni Mashindano yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka la India, All India Football Federation (AIFF), mahsusi kuitayarisha Timu yao ya U-17 kwa ajili ya Mashindano ya AFC U-16 na yale ya 2017 FIFA U-17 World Cup.
-Mashindano haya yanachezwa kuanzia Mei 15 hadi Mei 25 huko Tilak Maidan Stadium in Vasco, Goa Nchini India.
-Mashindano haya yana Hatua mbili za Kundi na za Mtoano.
-Timu 4 za juu za Kundi ambalo lina Timu 5 zitasonga kuingia Mtoano ambapo Timu mbili za juu zitacheza Fainali.
AIFF YOUTH CUP
RATIBA/MATOKEO:
15 May 2016
Tanzania 1 vs United States 1
-TANZANIA: Mohamed Abdallah 13', USA: Grant Ogudimu 3'
15 May 2016
India 2 Malaysia 2
17 May 2016
India 1 Tanzania 3
-Komal Thatal, 36' TANZANIA: Maziku Amani Goal 20', Mohammed Sarif Khan 28' (o.g.),
Asad Ali 47'
17 May 2016
Malaysia 0 South Korea 3
19 May 2016
South Korea 2 Tanzania 2
-KOREA: Kim Taehwan 15', Joung Sungjune 58' TANZANIA: Asad Ali Juma 12', Maulid Lembe 87'
19 May 2016
United States 4 India 0
21 May 2016
United States v South Korea
21 May 2016
Tanzania v Malaysia
23 May 2016
Malaysia v United States
23 May 2016
South Korea v India
Mshindi wa 3
25 May 2016
Mshindi wa 3 wa Kundi v Mshindi wa 4 wa Kundi
FAINALI
25 May 2016
Mshindi wa 1 wa Kundi v Mshindi wa 2 wa Kundi
No comments:
Post a Comment