Bao hilo la Morata alieingia Uwanjani Dakika ya 108 lilifungwa Dakika ya 110.
Juve sasa wametwaa Mataji Mawili makubwa baada ya pua kuutetea vyema Ubingwa wao wa Serie A.
Hii ni Dabo ya Pili mfululizo kwa Juve lakini pia imewakatili Vigogo AC Milan kucheza Ulaya na badala yake Timu ndogo Sasssuolo kufuzu kucheza EUROPA LIGI kwa mara ya kwanza.
AC MILAN: Donnarumma; Calabria, Zapata, Romagnoli, De Sciglio; Kucka, Montolivo (Jose Mauri 108), Poli (Niang 84); Honda, Bacca, Bonaventura
JUVENTUS: Neto; Rugani, Barzagli, Chiellini; Lichtsteiner (Cuadrado 75), Lemina, Hernanes (Morata 108), Pogba, Evra (Alex Sandro 61); Mandzukic, Dybala
No comments:
Post a Comment