


Uongozi wa Man United, wakishirikiana na ule wa Bournemouth pamoja na BPL, wameamua Mechi hii kuchezwa Jumanne Usiku na Klabu ya Man United imeamua Mashabiki wote waliokuwa na Tiketi ya Mechi ya Jumapili iliyofutwa watarudishiwa Fedha zao na sasa kuingia Bure Jumanne Usiku.

Mechi hii ni ya kukamilisha Ratiba tu kwani Bournemouth wako salama na hawagombei nafasi yeyote kucheza Ulaya ingawa kwa Man United ipo nafasi finyu ya kuipiku Man City toka Nafasi ya 4 na wao kucheza UCL, UEFA CHAMPIONS LIGI

Kwenye Mechi hiyo City walitangulia kufunga Dakika ya 5 kwa Bao la Kelechi Iheanacho na Swansea kurudisha Dakika ya 46 kwa Bao la Andre Ayew.

No comments:
Post a Comment