Uwanja wa Emirates Jijini London ulikuwa na sherehe ya Magoli baada ya Bao 7 kutumbukizwa wakati Liverpool walipovunja gundu la kushinda Mechi 1 tu Nyumbani kwa Arsenal walipotoka kwa Bao 1-0 na kushinda 4-3.
Lakini Dakika 1 baadae Walcott alirekebisha na kuipa Arsenal Bao katika Dakika ya 31 ambalo lilisawazishwa na Philippe Coutinho katika Dakika za Majeruhi za Kipindi cha Kwanza.
Hadi Mapumziko, Arsenal 1 Liverpool 1.
Arsenal pia walikosa mkwaju wa penati
No comments:
Post a Comment