Hii ni mara ya kwanza kwa Cameroun kuifunga Egypt katika Fainali 3 walizokutana nayo huko nyuma na hii ni mara yao ya kwanza kutwaa Ubingwa wa Afrika tangu Mwaka 2002 ilipokuwa mara yao ya 4 kuwa Bingwa.
Egypt ndio waliotangulia kufunga katika Dakika ya 22 Mfungaji akiwa Kiungo wa Arsenal Mohamed Elneny na Bao hilo kudumu hadi Haftaimu.
Bao hizo ziliamsha nderemo na vifijo miongoni mwa Mashabiki 38,000 wengi wao wakiwa ni wa Cameroon.
VIKOSI:
EGYPT: Essam El Hadary, Ahmed Fathi, Ahmed Hegazy, Ali Gabr, Ahmed Elmohamady, Mohamed Elneny, Tarek Hamed, Amr Warda, Abdallah Said, Mahmoud Hassan (Ramadan Sobhi 66’), Mohamed Salah
CAMEROON: Fabrice Ondoua, Michael Ngadeu-Ngadjui, Collins Fai, Adolphe Teikeu (Nicolas N’Koulou 32’), Ambroise Oyongo, Sébastien Siani, Arnaud Sutchuin Djoum, Benjamin Moukandjo, Robert Ndip Tambe (Vincent Aboubakar 46’), Christian Bassogog, Jacques Zoua (Georges Mandjeck 90+4’)
Egypt wakipagawa baada ya Camerron kusawazisha bao
No comments:
Post a Comment