Arsenal walifunga Bao la Kwanza Dakika ya 34 baada ya Mpira kumgonga Mkononi na kutinga kufuatia kizaazaa cha Krosi Kieron Gibbs.
Bao la Pili la Arsenal lilifungwa tena na Sanchez katika Dakika za Majeruhi, Dakika ya 92, kwa Penati iliyotolewa baada ya Sam Clucas kuushika Mpira wa Kichwa wa Lucas Perez kwenye Mstari wa Goli.
VIKOSI:
ARSENAL: Cech, Bellerin, Mustafi, Koscielny, Gibbs, Oxlade-Chamberlain, Coquelin, Walcott, Ozil, Iwobi, Sanchez.
Akiba: Gabriel, Lucas Perez, Giroud, Ospina, Monreal, Welbeck, Elneny.
Hull City: Jakupovic, Elabdellaoui, Ranocchia, Maguire, Robertson, Huddlestone, N’Diaye, Markovic, Grosicki, Clucas, Niasse.
Akiba: Meyler, Maloney, Diomande, Marshall, Elmohamady, Tymon, Evandro.
REFA: Mark Clattenburg
No comments:
Post a Comment